MKOA wa Mara ... imo katika orodha ya nchi zenye ugonjwa huo. FURSA KWA WANANCHI Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, anawataka wananchi na wafugaji mkoani humo kuchangamkia fursa ya kampeni ...
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya wanakutana hivi leo mjini Brussels, Ubelgiji kuamua iwapo wanatakiwa kuendeleza vikwazo dhidi ya Urusi kutokana na uvamizi wake nchini Ukraine.
Mpango kabambe wa kutoa chanjo kwa mifugo yote nchini Kenya unatarajiwa kuanza wiki hii huku kukiwa na upinzani mkali kutoka kwa wafugaji ambao unasukumwa na madai ya kupotosha kuhusu chanjo hizo.
Umoja wa Ulaya umerejesha upya vikwazo vyake dhidi ya Urusi na kukubaliana juu ya ramani ya kuondosha baadhi ya vikwazo ulivyoiwekea Syria. Uamuzi huu ulifikiwa baada ya mkutano wa mawaziri wa ...
Waziri wa mambo ya nje wa Mali, Abdoulaye Diop, amesema sharti muungano wa ECOWAS uandae mazingira yanayohitajika kwa nchi tatu kujiondoa ndani ya muungano huo, na kuongeza kuwa, nchi hizo tatu ...
Jeshi hilo la Uruguay pia limechapisha picha za baadhi ya watu wakiwa wamevalia sare za kiraia na zile na wanajeshi wakiwa wanafanya usajili nao. Waasi wa M23 walikuwa wamewaagiza wanajeshi wa ...
Juhudi za uopoaji zinaendelea katika eneo la Washington DC, kufuatia ajali ya ndege aina ya American Airlines iliyokuwa ikitoka Kansas ikiwa na abiria 64 kugongana na helikopta ya kijeshi ...
MAWAZIRI kutoka nchi mbalimbali za Jumuiya ya Afrika Mashariki na watumiaji wakubwa wa nishati wanatarajia kukutana Jijini Arusha katika Mkutano wa Ushirikiano wa Nishati wa Afrika Mashariki (EA-ECS), ...
Soma Pia: Baraza la Mawaziri Limeidhinisha Bei Iliyorekebishwa ya Ununuzi wa Ethanoli Due to the visibility provided by the Government under EBP Programme, investments have happened across the country ...
Jana Ijumaa Januari 31, 2025 taarifa kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Ofisa Uhusiano Mkuu wa shirika hilo, Revocutus Kasimba, ilisema orodha ya majina hayo ya watakaorejeshwa yatapatikana kwenye ...
Sekta kubwa ya kawi inayomilikiwa na serikali NTPC Ltd, imetangaza kuzinduliwa kwa teknolojia ya uhifadhi wa nishati ya betri ya CO2, na kuifanya kuwa hatua muhimu katika safari yake kuelekea ...
MKUTANO wa Wakuu wa Nchi wa Afrika Kuhusu Nishati unahitimishwa leo ukilenga kutoa azimio litakalowezesha Waafrika milioni 300 kufikishiwa huduma ya umeme ifikapo 2030. Jana ulitanguliwa na mawaziri ...