Mwimbaji mkongwe wa muziki wa taarab, Khadija Omar Kopa, pamoja na msanii wa kizazi kipya, Barnaba Classic, wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza miaka 65 ya kuzaliwa na kumtakia maisha ...
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa, ametoa hoja katika Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea wa nafasi ya urais wa Tanzania katika Uchaguzi ...
NAIROBI – Rais wa Kenya, William Ruto, amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, kuhusu hali tete ya usalama inayoshuhudiwa mashariki mwa DRC, kuelekea mkutano wa ...
Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Grace Magembe, kwenda kusimamia vyema magonjwa ya milipuko ili kuepusha nchi kuingizwa katika tahadhari (alert) na kusimamishwa ...
Donald Trump leo Jumatatu anaapishwa kuwa rais wa 47 wa Marekani. Trump anatarajiwa kutia saini idadi kubwa itakayoweka rekodi ya amri za rais punde baada ya kula kiapo cha kutumikia muhula wake ...
Dodoma – Tanzania's Chama Cha Mapinduzi (CCM) resolved to endorse President Samia Suluhu Hassan and Hussein Mwinyi as its presidential candidates for the Union Government and Zanzibar, respectively, ...
Makamu huyo wa zamani wa rais, aliyechukua nafasi ya Rais John Magufuli ... Katibu Mkuu wa CCM Emmanuel Nchimbi ameteuliwa kuwa mgombea mwenza wa Samia Suluhu Hassan. "Hatuna wagombea mbadala ...
Chama tawala nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM), Januari 19, 2025 kimepitisha azimio la kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa ...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah amempongeza na kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kuwezesha ujenzi wa Jengo la Ofisi Kuu ya Wakala wa Vipimo (WMA) jijini Dodoma ...
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema mtu mmoja amekutwa na maambukizi ya virusi vya Marburg (MVD) katika Wilaya ya Biharamuro mkoani wa Kagera, huku akisema nchi imefanikiwa ...
President Samia Suluhu Hassan said at a press conference on Monday that health authorities had confirmed one case of Marburg in the north-western region of Kagera. "We are confident that we will ...
President Samia Suluhu Hassan said at a press conference on Monday that health authorities had confirmed one case of Marburg in the north-western region of Kagera. "We are confident that we will ...