Katika kushangilia bao hilo, Haaland akaenda kuuchukua mpira wavuni na kumpiga nao kichwani beki wa Arsenal, Gabriel.
JANA tulianza mfululizo wa makala maalumu juu ya ukiukwaji wa Kanuni ya Leseni za Klabu kuhusiana na timu za vijana tukaona ...
MSHAMBULIAJI wa Yanga Princess, Ariet Udong anayefananishwa na nyota wa Yanga, Aziz KI atakuwa nje ya uwanja kwa miezi minne akiuguza majeraha ya mguu.
Gor Mahia wamemtangaza kocha mpya kutoka Croatia, Sinisa Mihic, kama kocha wao mkuu. Mihic, mwenye umri wa miaka 48 na mwenye ...
NYOTA mpya wa KenGold, Bernard Morrison ‘BM3’, huenda akakosa baadhi ya michezo ya kikosi hicho baada ya kupewa programu ...
MOTO wa kocha Sead Ramovic bado unaendelea kuwachoma wapinzani wa Yanga katika Ligi Kuu Bara baada ya Gusa Achia Twende Kwao ...
Staa wa zamani wa Simba, Yanga na Taifa Stars, amekiri kukunwa na kiwango kikubwa cha soka alichonacho kiungo mshambuliaji wa ...
NYUKI wa Tabora leo wametulizwa nyumbani baada ya kufumuliwa tena mabao 3-0 na Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara na ...
CEASIAA Queens ya Iringa katika dirisha hili dogo imeongeza wachezaji wanne kwenye maeneo tofauti. Timu hiyo iko nafasi ya ...
Kwenye jumba hilo, Simeone anaishi na mkewe, mrembo matata kabisa, Carla Pereyra, ambaye amepata naye watoto wawili wa kike, ...
BEKI wa pembeni wa Chelsea, Ben Chilwell ameripotiwa kuwa kwenye hatua za mwisho kukamilisha uhamisho wake wa kwenda kujiunga na Crystal Palace ili kuondokana na nyakati ngumu za huko ...
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Mashujaa FC, Ismail Mgunda ameanza rasmi mazoezi ya kuitumikia AS Vita ya DR Congo iliyomsajili hivi karibuni baada ya kukamilisha taratibu zote zilizotakiwa nchini humo.